• Thu. Apr 25th, 2024

Mpiga Kura Azabwa Makonde Na Mlinzi wa Gavana kwa kulalamika

Jun 11, 2021
516 300

Mwanamke aliyetambuliwa kwa jina Damaris kutoka Kaunti ya Kirinyaga ameonekana akipigwa na Mlinzi wa Gavana Ann Waiguru.

Mama huyo alikuwa akilalamikia Ugavi duni wa rasilimali katika Kaunti hiyo ya Kirinyaga. Alipokuwa akikaribia gari la Gavana ndipo Mlinzi huyo alimpiga Makonde.

Pia mwanamke huyo alikuwa akilalama kuwa katika Wodi ya Kanga hawana vituo vya afya na kuwa wanateseka Sana kupata huduma za afya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *