• Sat. Apr 20th, 2024

Kontrakta Ndio wa Kulaumiwa kwa Kuporomoka Kwa Flyover Kangemi Asema MCA

Jun 22, 2021
280 300

Wanakandarasi wanaosimamia ujenzi wa  kivukio yaani flyover  kilichopromoka hapo jana na kuwacha watu watano wakiwa wamejuruhiwa ndio wa kulaumiwa.

Hii ni  kulingana na MCA wa Kangemi Paul Mahamba ambaye anasema wale kontrakta wameweka presha kubwa kwa wafanyikazi na hivyo kuwafanya kutomakanika vilivyo.

“Hao watu wanaowasimamia ujenzi ndio wa kulaumiwa wameweka wafanyikazi na presha ambazo hazina maana na hiyo imechangia kazi kufanyika chini ya viwango hitajika.” Mahamba alisema.

Wote watano walionusurika kifo walikimbizwa katika hospitali ya Kenyatta pahali ambapo wanaendelea kupokea matibabu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *